Baba Mmoja Mwenye Nyumba huko
Michigan Nchini Marekani, anashikiliwa na Polisi baada ya Kuwaua Wapangaji wake
(Wapenzi) Wawili kwasababu aliyoitaja kuwa huwa wanampigia Kelele Usiku na
kumfanya ashindwe kulala .
Muuaji huyo
aliyefahamika kwa Jina la Chad Reed , Miaka 53 , alijasilimisha mwenyewe Polisi
na kutoa maelezo kuwa hakuwaua kwa kukusudia bali alikua anajilinda Kutokana na
Wapangaji hao kumtolea kisu baada ya kwenda kuwaomba wapunguze kelele ili aweze
kulala .
Taarifa za Polisi
zinasema kuwa Chad aliwaua Wapangaji wake hao kwa Bunduki , na sababu alizotoa
ni kuwa wawili hao wamekuwa wakimnyima usingizi Kutokana na kelele nyingi
wanazopiga Usiku ikiwemo kufungulia Muziki kwa Sauti ya Juu .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon