Ikiwa ni mwezi Mmoja tu tangu aombe
talaka , Rapa Cardi B na Mume wake Offset wameonesha kurudisha Mapenzi yao upya , baada ya
kusheherekea Birthday ya Card B huko Las Vegas Wiki iliyopita .
Kupitia Ukurasa
wake wa Instagram , Rapa Card B aliamua kuingia LIVE na kuwaelezea mashabiki
zake ni sababu zipi zimemfanya aamue kurudiana na Offset ambae amezaa nae mtoto
Mmoja .
" Nilianza
kummiss sana .. ni ngumu sana kukaa bila kuongea na rafiki yako /Mtu wako
umpendae na Pia siwezi kuishi bila kufanya mapenzi " - ameeleza Cardi B
Card B Pia ameeleza
asingeweza kukataa zawadi ya Gari aina ya Rolls Royce ambayo Mume wake huyo
alimzawadia Siku ya Birthday, Licha ya wawili hao kutokua na maelewano Kipindi
hicho .
"Mlitaka
nifanyeje ? Jamaa kaninunulia Rolls Royce kwenye Birthday yangu, mlitaka
nilikatae ? " - alihoji Cardi B .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon