Raisi wa Marekani Donald Trump na mke wake
wamepatikana na virusi vya corona baada ya kuwa kwenye karantini.
Rais
Donald Trump wa Marekani amesema kwamba yeye na mke wake Melania Trump
wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye karantini.
Ametoa
tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter.
Tangazo hilo linawadia baada ya Bwana Trump na wasaidizi wake wawili kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.
Tonight, @FLOTUS and I tested positive for COVID-19. We will begin our quarantine and recovery process immediately. We will get through this TOGETHER!
— Donald J. Trump (@realDonaldTrump) October 2, 2020
Hope Hicks,
31, mshauri wa rais amekuwa msaidizi wa karibu wa Bwana Trump kupatikana na
virusi vya corona hadi hivi sasa.
Bi. Hicks alisafiri na yeye kwa ndege ya kijeshi kwenda kwenye mdahalo wa Televisheni uliofanyika Ohio mapema wiki hii.
EmoticonEmoticon