Rapa Tory Lanez ameamuliwa na Mahakama kukaa mbali kabisa na Meg Thee Stallion , katika kipindi hiki ambacho Kesi yake ya Kumshambulia
Mrembo huyo kwa bunduki inaendelea .
Amri hiyo imetolewa
Katika Mahakama huko Los Angeles, baada ya kesi inayomkabili Tory kusikilizwa
kwa mara ya Kwanza Siku ya Jana Jumanne .
Tory Lanez
anakabiliwa na Mashitaka ya Kumshambulia Meg Thee Stallion kwa risasi ,
Mwishoni mwa Mwezi Septemba , na amekamatwa Rasmi kuhusu kesi hiyo Mwishoni mwa
Wiki iliyopita .
Tory anatarajiwa
kutoa dhamana ya Tsh Milion 440 , ili aweze kuisubiria tarehe ya kesi yake
akiwa nje ya Gereza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon