Wakati dunia bado ikiendelea
kuhangaika kutafuta Chanjo / Kinga ya Mwili, Mama mmoja wa huko nchini
Singapore amejifungua mtoto ambae ana Kingamwili (antibodies) dhidi ya Virusi
vya Corona .
Celine Ng-Chang
Mwenye umri wa miaka 31, amejifungua mtoto huyo Mwezi huu baada ya kufanikiwa
kupona Virusi vya Covid-19 akiwa mjamzito .
"Madaktari
wameniambia kwamba ntakua nimemuhamishia Mtoto wangu kinga za Covid-19 nikiwa
mjamzito " - alisema Mama huyo .
Kwa mujibu wa
wataalamu wa afya, mtu mwenye Kingamwili za Covid-19 anaweza kutoambukizwa
Virusi hivyo, Japo bado haijafahamika ni kwa kiwango gani .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon