Kundi la
wanamgambo wa Kiisilamu lenye makao yake nchiniNigeria, Boko Haram limesema
limetekeleza vitendo vya utekaji nyara wiki iliyopita wa mamia ya wavulana wa
shule katika jimbo la Katsina Kaskazini Magharibi mwa Nigeria.
Zaidi ya wanafunzi 300 hawajulikani waliko, lakini wengine
waliweza kutoroka.
Mamlaka hapo awali zililaumu "majambazi" kwa
shambulio hilo.
Boko Haram limekuwa maarufu kwa miaka kumi iliyopita kwa utekaji nyara kwenye shule, pamoja na huko Chibok mnamo 2014, lakini tukio hilo lilifanyika Kaskazini Mashariki.
EmoticonEmoticon