Rais wa
Mareakani Donald Trump amebadili mpangowa kuwapa chanjo ya corona maafisa wa
White House katika siku chache zijazo.
Awali maafisa walisema maafisa wa ngazi ya juu katika utawala
wa Trump watakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kupewa chanjo ya corona, maafisa
nchini Marekani wamesema.
Maafisa pia walikuwa wamesema baadhi ya wafanyakazi wa White
House wanatarajiwa kupewa chanjo ya Pfizer/BioNTech wiki hii.
Chanjo hiyo inatoa ulinzi wa hadi asilimia 95 dhidi ya
Covid-19 ana inaidhinishwa kuwa salama na wadhibiti wa dawa wa Marekani
iliyopita Ijumaa.
Dozi milioni tatu za kwanza za chanjo hiyo kwasaba zinasambazwa katika maeneo tofauti katika majimbo yote 50 ya Marekani.
EmoticonEmoticon