Maelfu ya
Warusi wameshiriki maandamano ambayo hayakuidhinishwa na mamlaka nchini Urusi
kudai kuachiliwa huru kwa kiongozi wa upinzani aliyefungwa jela Alexei Navalny.
Zaidi ya watu 5,000 wamezuiliwa, kikundi kimoja
kinachofuatilia matukio nchini humo kimesema.
Bwana Navalny alifungwa jela aliporejea nchini Urusi baada ya
kupona jaribio la kumuua kwa sumu kwa kutumia kemikali inayoathiri neva.
Bwana Navalny amelaumu huduma za usalama kwa shambulio hilo
lakini Kremlin imekanusha madai hayo.
The opposition figure was arrested after arriving in Moscow
from Germany, where he spent months recovering from the near-fatal incident.
Mpinzani huyo wa serikali ya Urusi alitakamtwa baada ya kuwasili kutoka Ujerumani alipokuwa akipata matibabu kwa miezi kadhaa baada ya tukio hilo ambalo nusra limsababishie kifo.
EmoticonEmoticon