Muhula wake
kuwepo madarakani uliisha mwanzoni mwa Februari na bunge lilipanga kufanya
uchaguzi Februari 8 ukacheleweshwa kwa sababu wabunge wapya bado
hawajachaguliwa huku upinzani unamshutumu Farmajo kujaza wafuasi wake katika
bodi ambazo huchagua wabunge
Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Mohamed maarufu Farmajo ambaye muhula wake wa miaka minne madarakani ulifikia kikomo mwanzoni mwa mwezi huu hatakiwi kushiriki katika mazungumzo yanayolenga kutatua mzozo ambao umechelewesha kufanyika uchaguzi mkuu mpya wa nchi hiyo, serikali za majimbo mawili kati ya matano nchini Somalia zimesema Jumapili.
EmoticonEmoticon